Mkurugenzi wa kampuni ya Wazungu Entertainment bwana B47 hatimaye baada ya kimya cha mda mrefu amerudi tena na Bonge moja la kaz inaitwa My Feeling akishirikiana na Benemsix, The Mic Doctor pamoja na Op The Master.
Video imefanywa na Reggani kutoka Ekizegas Video prod.
ENJOY
Video imefanywa na Reggani kutoka Ekizegas Video prod.
ENJOY
#TRAP
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni