Hatimaye nguli wa kuitwa Bad Father kutoka kwenye filamu anakuja na ujio mpya kabisa na hii hapa video yake mpya #Nisamehe akiwa ameshirikiana na wasanii kibao wakubwa mkoani songwe Wiz Star, Sam B Dady, Aggai The Pitch, Binash Mswahili na Benemsix.
Video imefanywa na Reggani kutoka Ekizegas Video prod.
ENJOY
Video imefanywa na Reggani kutoka Ekizegas Video prod.
ENJOY
#MZIKIUNAOISHI.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni